Monday, 15 August 2016

Kuanzia leo utapata historia kwa ufupi ya waimbaji wa Kikundi cha HGS

Anaitwa  Lisso Ibrahim Biseko
Ana umri wa miaka 33
Alianza kama mdau wa kikundi cha HGS, ambapo kuanzia mwaka 2015  alichaguliwa kuwa  M/Kiti wa Kikundi hiki
 Ameoa Mke Mmoja
Anaimba sauti ya 3.

No comments:

Post a Comment